Cytosine

From Wikipedia, the free encyclopedia

Cytosine
Remove ads

Cytosine ni mojawapo ya vitengo vya msingi vya kimaumbile vinavyounda DNA na RNA, ambavyo ni molekuli zinazobeba habari muhimu za maisha. Kwa ufupi, cytosome ni aina ya nukleotide, ambazo ni vitengo vidogo vinavyounda minyororo ya DNA na RNA. Inajulikana kama mojawapo ya "nukleobesi" nne, ambazo ni adenine (A), thymine (T) (kwa DNA), uracil (U) (kwa RNA), na cytosome (C). Hizi hufanya kama "herufi" katika alfabeti ya lugha ya kimaumbile inayosomwa na seli za maisha kutoa maagizo ya jinsi ya kufanya kazi na kukua[1].

Thumb
Cytosine
Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads