Dar es Salaam Institute of Technology

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dar es Salaam Institute of Technology
Remove ads


Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) ni chuo cha teknolojia kilichoanzishwa mwaka 1997.

Thumb
Caption text

Kuna kozi za stashahada na za shahada ya kwanza (B.A.) katika fani mbalimbali za uhandisi.

Kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Leeds ziko pia kozi za shahada ya pili (M.A.).

Chuo kipo jijini Dar es Salaam karibu na njiapanda za barabara za Morogoro na Bibi Titi Mohamed.

Mtangulizi wa DIT ilikuwa Chuo cha Ufundi Dar es Salaam kilichofunza mafundi tangu mwaka 1957.

Remove ads

Viungo vya nje

Tovuti rasmi ya DIT Ilihifadhiwa 24 Novemba 2009 kwenye Wayback Machine.

Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dar es Salaam Institute of Technology kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads