Kozi

Ndege mbuai wa familia Falconidae From Wikipedia, the free encyclopedia

Kozi
Remove ads

Kozi ni ndege mbuai wadogo wa familia ya Falconidae.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Wana mabawa membamba yaliyochongoka ambayo yanawapa uepesi na uwezo wa kubadilisha mwelekeo upesi. Kozi tembere, ndege wepesi kabisa duniani, wanaweza kufikia kasi ya kushuka ya zaidi ya km 300 kwa saa.

Kozi hula mawindo madogo kama ndege, panya, mijusi na wadudu. Spishi nyingine hutumika sana kwa uwindaji kwa ndege mbuai.

Jike hutaga mayai juu ya miamba, ndani ya mianya, juu ya tawi kubwa au ndani ya tago la ndege mwingine kama kunguru. Mara nyingi hawatumii vijiti au vitu vingine kujenga tago salihi.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads