David James Thouless
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
David James Thouless (amezaliwa 21 Septemba, 1934) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aligundua m. Mwaka wa 2016, pamoja na Frederick Duncan Michael Haldane na John Michael Kosterlitz, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Alipewa tuzo kwa utafiti wake wa kinadharia katika maelezo ya tabia za mata katika hali karibu na sifuri halisi (ing. "for theoretical discoveries of topological phase transitions and topological phases of matter")[1][2][3] .


Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads