Davini wa Lucca

From Wikipedia, the free encyclopedia

Davini wa Lucca
Remove ads

Davini wa Lucca (alifariki Lucca, Italia, 3 Juni 1050) alikuwa Mkristo kutoka Armenia ambaye aligawa mali yake kwa maskini akahiji Yerusalemu na Roma. Wakati wa kuelekea Santiago de Compostela alifariki[1].

Thumb
Maiti yake chini ya altare.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads