Delhi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Delhi
Remove ads

Delhi ni jiji kubwa la pili na pia eneo maalumu katika Uhindi. Ndani yake uko mji mkuu wa Uhindi New Delhi. Eneo lake ni km² 1,484 na idadi ya wakazi hukadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 11 (2011).

Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Delhi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Thumb
Majengo maarufu ya Delhi
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads