Demetriani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Demetriani (alifariki Bendosapore, Uajemi, 10 Novemba 260/261) alikuwa askofu wa 16 wa Antiokia kuanzia mwaka 253 hadi kifo chake, ingawa muda wote alikuwa uhamishoni na hatimaye gerezani kutokana na dhuluma ya mfalme Sapur I[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads