Demografia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Demografia
Remove ads

Demografia ni sayansi ya jamii inayozingatia takwimu za idadi ya binadamu.

Thumb
Ramani ya nchi za dunia kadiri ya idadi ya watu.
Thumb
Msongamano wa watu nchini Tanzania kadiri ya sensa ya mwaka 2022.

Inaweza kuhusu mabadiliko yoyote ya makundi ya watu mbalimbali kadiri ya mahali na wakati, k. mf. kulingana na wengine kuzaliwa, kufa, kuhama, kuzeeka na kufa[1].

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads