Demokrito na wenzake

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Demokrito na wenzake Sekundo na Dionisi (walifariki Şuhut, Frigia, Uturuki wa leo, karne ya 3) walikuwa Wakristo waliouawa kwa ajili ya imani yao[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads