Denzel Washington

Muigizaji wa Marekani, mwandishi, mkurugenzi na mtayarishaji filamu From Wikipedia, the free encyclopedia

Denzel Washington
Remove ads

Denzel Hayes Washington Jr. (alizaliwa Desemba 28, 1954) ni mwigizaji na mtengenezaji wa filamu wa Marekani. Amekuwa akizungumziwa sana kama mwigizaji ambaye alirekebisha upya "dhana ya nyota wa sinema ya kawaida" na hivyo kuleta dhana ya kwamba nyota katika filamu anaweza akawa mtu tu wa kawaida lakini mwenye fani na ujuzi tofauti na vile alivyochukuliwa katika jamii.[1]

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...

Katika kipindi chake chote cha kazi kwa zaidi ya miongo minne, Washington amepokea tuzo nyingi, zikiwa ni pamoja na tuzo ya Tony, tuzo mbili za Akademi, tuzo tatu za Golden Globe na Silver Bears mbili.[2] Mnamo 2016, alipokea Tuzo ya Mafanikio katika Maisha ya Cecil B. DeMille, na mnamo 2020, The New York Times alimtaja mwigizaji bora wa karne ya 21.[3] Mnamo 2022, Washington alipokea nishani ya rais ya Uhuru aliyopewa na Rais Joe Biden.[4]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads