Dioskoridi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Dioskoridi wa Smirna (alifariki Myra, Licia, leo nchini Uturuki, 250 hivi) alikuwa Mkristo aliyefia dini yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads