Dioskoridi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Dioskoridi wa Smirna (alifariki Myra, Licia, leo nchini Uturuki, 250 hivi) alikuwa Mkristo aliyefia dini yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Mei[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads