Discogs

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Discogs (ni kifupi cha discographies) ni jina la wavuti inayokusanya taarifa mbalimbali kuhusu rekodi za sauti ikiwa ni pamoja na kutoa matoleo ya kibiashara, matoleo ya kuchochea mauzo, yaani promosheni, na rekodi ambazo zimetolewa bila urasmi. Seva yake kwa sasa inatumia jina la discogs.com, ambayo inamilikiwa na kampuni ya Zink Media, Inc., na ipo mjini Portland, Oregon, Marekani. .[2][3]

Ukweli wa haraka Kisara, Aina ya tovuti ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads