Discogs
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Discogs (ni kifupi cha discographies) ni jina la wavuti inayokusanya taarifa mbalimbali kuhusu rekodi za sauti ikiwa ni pamoja na kutoa matoleo ya kibiashara, matoleo ya kuchochea mauzo, yaani promosheni, na rekodi ambazo zimetolewa bila urasmi. Seva yake kwa sasa inatumia jina la discogs.com, ambayo inamilikiwa na kampuni ya Zink Media, Inc., na ipo mjini Portland, Oregon, Marekani. .[2][3]
Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads