Diski gandamize
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Diski gandamize (kwa kifupi: DIGA; pia: diski songamano[1]; kwa Kiingereza: compact disc; kifupi: CD) ni kifaa cha kutunzia data katika utarakilishi, inayotumika hasa kuandika, kutunza au kucheza sauti, video au data nyingine kwenye hali ya kidijiti.



Diski hii ni ya kigae, au/na ya plastiki.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads