Domomundu

Ndege wa jenasi Rhinopomastus, familia Phoeniculidae, wenye domo kama mundu From Wikipedia, the free encyclopedia

Domomundu
Remove ads

Domomundu, kwembemundu au hanjari ni ndege wa jenasi Rhinopomastus katika familia Phoeniculidae. Wanafanana na goregore lakini domo lao limepindika zaidi. Mwangani kwa jua manyoya yao yana mng'ao buluu wa metali. Hula wadudu ambao wanawatafuta katika nyufa ya miti kama vigong'ota. Jike huyataga mayai 2-4 ndani ya tundu ya mti na kuyaatamia. Wakati huu dume amletea chakula.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads