Dorimedonti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Dorimedonti (alifariki Şuhut, Frigia, Uturuki wa leo, 278 hivi) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa imani yake[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Septemba[3].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads