Duka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Duka
Remove ads

Duka ni mahali ambapo watu wanaweza kwenda kununua vitu wanavyovihitaji au wanavyotaka. Kuna vitu vingi ambavyo watu duniani wanaweza kununua dukani. Wanaweza kwenda dukani kununua chakula, nguo, samani, vitabu na vitu vingine vingi.

Thumb
Thumb
Watu wakiwa dukani wakinunua mahitaji yao.

Watu wanaweza pia kwenda kwenye duka la kutengeneza vifaa vilivyoharibika, na wanataka watengenezewe vifaa vyao. Kwa mfano, mtu anaweza kuleta baiskeli iliyoharibika kwenye duka la kutengeneza baiskeli.

Maduka makubwa yanaitwa pia supamaketi.

Maduka yanaweza yakawa makubwa na hata hivyo faida yake ikawa ndogo.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads