Samani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Samani
Remove ads

Samani (far. سامان) (pia: fanicha, ing. furniture) ni neno la kutaja aina ya vitu kama viti, meza na kabati.

Thumb
Fanicha katika picha.

Kwa maana nyingine, samani au fanicha ni kama viti vilivyopo ndani ya nyumba na watu wanaweza kutumuia kwa kukalia, kulalia na vinginevyo vinavyotumiwa kwa kuwekea vitu vidogo kama nguo au vikombe. Samani huundwa kwa kutumia mbao, vipande vya mbao, ngozi, gundi au parafujo (yaani screws) n.k.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads