Dunkerque

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dunkerque
Remove ads

Dunkerque (kwa Kiing.: Dunkirk) ni mji wa Ufaransa katika Nord-Pas-de-Calais.

Thumb
Sehemu ya mji wa Dunkerque
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Remove ads

Mji huo ni bandari kwenye mwambao wa Mfereji wa Kiingereza.

Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia kulitokea hapo mapigano ya Dunkirk ya 1939 ambapo wanajeshi laki tatu wakiwemo Waingereza na Wafaransa walizingirwa na Wajerumani. Ujerumani ilisimamisha wanajeshi wake kwa muda na Uingereza ilitumia nafasi hiyo kutuma meli na maboti mengi Dunkirk ikafaulu kuokoa sehemu kubwa ya askari zake.

Remove ads

Tazama pia

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dunkerque kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads