Dwayne Johnson

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dwayne Johnson
Remove ads

Dwayne Douglas Johnson (pia anajulikana kwa jina la The Rock[1]; alizaliwa 2 Mei 1972) ni mwigizaji wa Marekani, mtayarishaji wa vipindi, na mwanamiereka wa kulipwa aliyestaafu. Anachukuliwa kama mmoja wa wanamiereka wa kitaalamu zaidi wa nyakati zote[2][3].

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads