Dzaoudzi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dzaoudzi
Remove ads

Dzaoudzi ni mji kwenye kisiwa cha Pamanzi (Kifaransa: Petite-Terre) katika eneo la ng’ambo la Ufaransa la Mayote. Ina wakazi 10,792 (mwaka 1999)

Thumb
Bandari ya Dzaoudzi

Dzaoudzi ilikuwa mji mkuu wa Mayote hadi 1976 lakini makao ya utawala ilipelekwa Mamoudzou kwenye kisiwa kikuibwa cha Maore (Kifaransa: Grande-Terre).

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads