Bunge la Afrika Mashariki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bunge la Afrika Mashariki
Remove ads

Bunge la Afrika Mashariki (kwa Kiingereza: East African Legislative Assembly, kifupi: EALA) ni chombo cha Jumuia ya Afrika Mashariki kwa kutunga sheria. Wabunge wanahudumu kwa miaka mitano.[1]

Thumb
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete akihutubia Bunge.

Bunge lilianzishwa tarehe 30 Novemba 2001.

Bunge la nne lina wajumbe 62, yaani 9 kwa kila nchi mwanachama, wakichaguliwa na bunge la nchi husika namna ya kuwakilisha kweli taifa lote, na wengine 8 kutokana na wadhifa wao. Spika ni Martin Ngoga kutoka Rwanda.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads