Eifel
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eifel ni ardhi kaskazini wa jimbo Rhine-Palatino huko Ujerumani.
Makala hii ina dalili ya kutungwa kwa kutegemea programu ya kompyuta kama vile "Google translation" au "wikimedia special:content translation" bila masahihisho ya kutosha. Watumiaji wanaombwa kuchunguza tena lugha, viungo na muundo wake. Wakiridhika na hali yake wanaweza kuondoa kigezo hiki kinachoonekana kwenye dirisha la kuhariri juu ya matini ya makala kwa kutumia alama za {{tafsiri kompyuta}} .





Eifel ipo kaskazini wa mto Moselle na magharibi wa mto Rhine, mashariki wa Eifel ni ardhi Westerwald, kusini wa Eifel ni ardhi Hunsrück.
Zamani sana Eifel ilikuwa sehemu ya volkeno, hii ni sababu leo kuna ziwa dogo wa asili wengi huku Eifel, zinaitwa "Maare", kwa mfano Maare huku "Maria Laach Nonnerei".
Sababu ilikuwa sehemu ya volkeno ya zamani sakafu ni tofauti kama Westerwald, sehemu mingi wa Eifel hamna misitu kubwa wengi.
Kuna huduma za treni wa mto Rhine (Koblenz - Köln) mashariki, wa mstari Trier - Köln magharibi, mistari wa Eifelquerbahn (Andernach - Kaisersesch ya Lahn-Eifel-Bahn na ya Aartalbahn (Remagen - Ahrbrueck zinapita Eifel kutoka mashariki hadi magharibi, sehemu kutoka Kaisersesch hadi Gerolstein ya Eifelquerbahn ilikuwa na huduma za treni za utalii lakini sasa hizi hamna. Hapo Eifel kuna hifadhi ya taifa pia, inaitwa "Nationalpark Eifel".
Mjini wa Eifel kwa mfano ni:
Remove ads
Viungo vya nje
- Tovuti ya Eifel ya wwww.britannica.com (Kijerumani)
- Tovuti ya Nationalpark Eifel (Kijerumani)
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads