Koblenz

From Wikipedia, the free encyclopedia

Koblenz
Remove ads

Koblenz ni mji wa Rhine-Palatino nchini Ujerumani ya Magharibi. Idadi ya wakazi wake ni takriban 106.445.

Thumb
Mji wa Koblenz
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...

Koblenz ipo ardhi ya Hunsrueck (kusi ya mto Moselle), Eifel (kaskazini wa Moselle) na Westerwald mashariki ya mto Rhine.

Thumb
Zentralplatz Koblenz, Forum Confluentes na Forum Mittelrhein
Thumb
Bustani Volkspark kata ya Luetzel
Thumb
Koblenz Arenberg Nonnerei
Thumb
Loehr Center
Thumb
Kanisa la St. Peter kata ya Neuendorf
Ngome ya Ehrenbreitstein na Koblenz Seilbahn (mbele)
Remove ads

Trafiki

Thumb
Kituo cha reli Koblenz Stadtmitte

Koblenz ina vituo vya treni sita (kituo kikuu, Ehrenbreitstein, Stadtmitte, Lützel, Moselweiss na Güls.

Hamna treni za barabarani, treni za mji au treni za mkoani, lakini mabasi la masafa marefu (kuna stopi kusini ya kituo kikuu cha reli), ma asi la eneo na mabasi la jiji.

Kuna Treni za mlima inaendeshwa kutoka kituo chini ya kati Ehrenbreitstein hadi kituo cha ngome ya Ehrenbreitstein na Koblenz Seilbahn pia inaendeshwa ngome ya Ehrenbreitstein kutoka kata ya Altstadt.

Remove ads

Tazama pia

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Koblenz kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads