Elementi ya kundi la 12

From Wikipedia, the free encyclopedia

Elementi ya kundi la 12
Remove ads

Elementi za kundi la 12 ni kundi kwenye jedwali la elementi au mfumo radidia. Elementi hizo ni pamoja na zinki, cadimi, zebaki, na copernici . Copernici ni elementi sintetiki, sio thabiti kwa hivyo tabia zake hazikueleweka bado. Elementi zote za kundi hilo zina kiwango cha kuyeyuka cha duni na pia kiwango cha kuchemsha cha duni. Zebaki (mercury) ni kioevu.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads