Elena Guerra

From Wikipedia, the free encyclopedia

Elena Guerra
Remove ads

Elena Guerra (Lucca, 23 Juni 1835 - Lucca 11 Aprili 1914) alikuwa bikira wa Italia aliyeanzisha shirika la Waliojitoa kwa Roho Mtakatifu kwa ajili ya malezi ya wasichana[1].

Thumb
Picha yake halisi.

Pia alielimisha vizuri ajabu waumini kuhusu kazi ya Roho Mtakatifu katika mpango wa wokovu[2].

Papa Yohane XXIII alimtangaza mwenye heri tarehe 26 Aprili 1959[3] halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 20 Oktoba 2024[4].

Sikukuu yake ni tarehe 11 Aprili[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads