Eliena

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Eliena (pia: Elena, Eilena; aliishi Laurino, Campania, Italia, karne ya 6 hivi) alikuwa bikira ambaye mapema utotoni alikwenda kuishi kama mkaapweke katika pango hadi kifo chake[1].

Imara katika matendo ya Kristo, alimtumikia Mungu bila kujibakiza katika mahitaji ya watawa na wagonjwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Aprili[2] au 22 Mei.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads