Emebati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Emebati (pia: Ablebati, Ablebertus, Emebertus; alizaliwa katika eneo la Brabant - akafariki Ham, leo nchini Uholanzi, nusu ya kwanza ya karne ya 7) alikuwa askofu wa tano au wa sita wa Cambrai na Arras, leo nchini Ufaransa[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads