Emebati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Emebati (pia: Ablebati, Ablebertus, Emebertus; alizaliwa katika eneo la Brabant - akafariki Ham, leo nchini Uholanzi, nusu ya kwanza ya karne ya 7) alikuwa askofu wa tano au wa sita wa Cambrai na Arras, leo nchini Ufaransa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Januari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads