Homs

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Homs (zamani: Emesa) ni mji wa Syria lenye wakazi 775,000, wa tatu baada ya Damasko na Aleppo.

Amekaliwa tangu mwaka 2300 KK. Jengo muhimu zaidi kihistoria ni Krak des Chevaliers.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads