Aleppo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Aleppo (kwa Kiarabu: ﺣﻠﺐ, Ḥalab) ni jiji la Syria ambalo kabla ya vita vya wenyewe kwa wenyewe lilikuwa na wakazi milioni 4.6 (2010)[1]. Kwa sasa si tena mji mkubwa na nchi, bali wa pili baada ya mji mkuu, Damascus.

Mji wa kale
al-Madina Souq
Msikiti mkuu • Baron Hotel
Kanisa kuu la Mt. Elia • Mto Queiq
Aleppo wakati wa usiku
al-Madina Souq
Msikiti mkuu • Baron Hotel
Kanisa kuu la Mt. Elia • Mto Queiq
Aleppo wakati wa usiku
Aleppo ni kati ya miji ya zamani zaidi duniani, akikaliwa tangu milenia ya 6 KK.[2] labda kutokana na biashara kati ya Mediteranea na Mesopotamia.
Mji wa Kale umo katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO.
Remove ads
Tanbihi
Viungo ya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads