Aleppo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aleppomap
Remove ads

Aleppo (kwa Kiarabu: ﺣﻠﺐ, Ḥalab) ni jiji la Syria ambalo kabla ya vita vya wenyewe kwa wenyewe lilikuwa na wakazi milioni 4.6 (2010)[1]. Kwa sasa si tena mji mkubwa na nchi, bali wa pili baada ya mji mkuu, Damascus.

Thumb
Mji wa kale
al-Madina Souq
Msikiti mkuu Baron Hotel
Kanisa kuu la Mt. Elia Mto Queiq
Aleppo wakati wa usiku

Aleppo ni kati ya miji ya zamani zaidi duniani, akikaliwa tangu milenia ya 6 KK.[2] labda kutokana na biashara kati ya Mediteranea na Mesopotamia.

Mji wa Kale umo katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO.

Remove ads

Tanbihi

Viungo ya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads