Emidi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Emidi
Remove ads

Emidi (279 hivi - 309 hivi) anakumbukwa kama askofu wa Ascoli Piceno (Italia ya Kati) hadi kifodini chake chini ya kaisari Diokletian[1].

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la Foligno, kazi ya Cody Swanson.

Inasemekana alitokea Trier, leo nchini Ujerumani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Agosti.[2]

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads