Eneo bunge la Kikuyu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eneo bunge la Kikuyu
Remove ads

Eneo bunge la Kikuyu ni mojawapo ya majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Kaunti ya Kiambu miongoni mwa majimbo kumi na mawili ya kaunti hiyo.

Remove ads

Historia

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988. Kuanzia uchaguzi wa 1988 hadi ule wa 2002, jimbo hili lilikuwa likijulikana kama Jimbo la Uchaguzi la Kabete.

Wabunge

Maelezo zaidi Uchaguzi, Mbunge ...
Remove ads

Wodi

Maelezo zaidi Wodi, Wapiga Kura Waliojisajili ...

Tazama Pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads