Eneo bunge la Kikuyu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eneo bunge la Kikuyu ni mojawapo ya majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Kaunti ya Kiambu miongoni mwa majimbo kumi na mawili ya kaunti hiyo.
Remove ads
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988. Kuanzia uchaguzi wa 1988 hadi ule wa 2002, jimbo hili lilikuwa likijulikana kama Jimbo la Uchaguzi la Kabete.
Wabunge
Remove ads
Wodi
Tazama Pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads