Eneo bunge la Lamu Magharibi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eneo bunge la Lamu Magharibi ni moja kati ya Majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Kaunti ya Lamu, huku likiwa moja kati ya majimbo mawili ya Uchaguzi katika kaunti hiyo ya pwani. Jimbo hili lina wodi 11, zote zikichagua madiwani kwa baraza la Lamu county.
Remove ads
Historia
Jimbo la Lamu Magharibi lilianza wakati wa uchaguzi mkuu wa 1966, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Abu Somo.
Wabunge
Remove ads
Kata na Wodi
Tazama Pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
