Eneo bunge la Lamu Magharibi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eneo bunge la Lamu Magharibi
Remove ads

Eneo bunge la Lamu Magharibi ni moja kati ya Majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Kaunti ya Lamu, huku likiwa moja kati ya majimbo mawili ya Uchaguzi katika kaunti hiyo ya pwani. Jimbo hili lina wodi 11, zote zikichagua madiwani kwa baraza la Lamu county.

Remove ads

Historia

Jimbo la Lamu Magharibi lilianza wakati wa uchaguzi mkuu wa 1966, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Abu Somo.

Wabunge

Maelezo zaidi Uchaguzi, Mbunge ...
Remove ads

Kata na Wodi

Maelezo zaidi Kata, Idadi ya Watu* ...
Maelezo zaidi Wodi, Wapiga Kura Waliojiaandikisha ...

Tazama Pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads