Kaunti ya Lamu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaunti ya Lamu
Remove ads

Kaunti ya Lamu ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Ukweli wa haraka Nchi, Nambari ...

Kaunti ya Lamu ni mojawapo ya kaunti za pwani. Inapakana na Kaunti za Garissa na Tana River. Pia inapakana na Jamuhuri ya Shirikisho la Somalia na Bahari Hindi.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 893,681 katika eneo la km2 6,253.3, msongamano ukiwa hivyo wa watu 23 kwa kilometa mraba[2]..

Makao makuu yako katika Lamu.

Remove ads

Utawala

Imegawanyika katika maeneo bunge mawili[3]:

Maelezo zaidi Eneo Bunge, Kata ...

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [4]

  • Lamu East 22,258
  • Lamu West 121,662

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads