Eneo bunge la Tetu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eneo bunge la Tetu
Remove ads

Eneo bunge la Tetu ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge sita katika Kaunti ya Nyeri.

Eneo Bunge la Tetu linajumuisha tarafa ya Tetu katika Wilaya ya Nyeri. Eneo Bunge la Tetu lote liko katika eneo la Baraza la Mji wa Nyeri.

Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.

Wangari Maathai amekuwa mbunge wa Tetu tangu uchaguzi wa 2002. Alituzwa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 2004.

Remove ads

Wabunge

Maelezo zaidi Mwaka wa Uchaguzi, Mbunge ...

Wadi

Maelezo zaidi Wadi, Wapiga kura waliosajiliwa ...

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads