Eobani na wenzake
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eobani na wenzake Adelari, Vintrungi, Valteri, Amundi, Shibaldi, Bosa, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi na pengine 41 zaidi (waliuawa Dokkum, katika Uholanzi wa leo, 5 Juni 754) walikuwa askofu, mapadri, mashemasi na wamonaki Wabenedikto waliotumwa kama mmisionari kwa Wafrisia, wakauawa pamoja na Bonifas.

Eobani alikuwa askofu, Adelari, Vintrungi na Valteri mapadri, Amundi, Shibaldi na Bosa mashemasi, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi wamonaki tu[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na wengineo kama watakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads