Eobani na wenzake

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eobani na wenzake
Remove ads

Eobani na wenzake Adelari, Vintrungi, Valteri, Amundi, Shibaldi, Bosa, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi na pengine 41 zaidi (waliuawa Dokkum, katika Uholanzi wa leo, 5 Juni 754) walikuwa askofu, mapadri, mashemasi na wamonaki Wabenedikto waliotumwa kama mmisionari kwa Wafrisia, wakauawa pamoja na Bonifas.

Thumb
Kifo cha Mt. Bonifas, kilivyochongwa na Werner Henschel, 1830, Fulda.

Eobani alikuwa askofu, Adelari, Vintrungi na Valteri mapadri, Amundi, Shibaldi na Bosa mashemasi, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi wamonaki tu[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na wengineo kama watakatifu.

Sikukuu yao ni tarehe 5 Juni ya kila mwaka[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads