Epeneto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Epeneto
Remove ads

Epeneto (kwa Kigiriki: Ἐπαινετός, Epainetós) alikuwa Mkristo wa karne ya 1 aliyetajwa na Mtume Paulo (Rom 16:5) kama mtu wa kwanza kuongokea Ukristo katika mkoa wa Asia.

Thumb
Mt. Epeneto.

Inasimuliwa kwamba baadaye akawa askofu wa kwanza wa Karthago (leo nchini Tunisia) kama si Kartagena (Hispania) au Sirmio (Serbia).

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 30 Julai.

Remove ads

Tazama pia

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Epeneto kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads