Erasto Nyoni

Mwanasoka wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Erasto Edward Nyoni, (alizaliwa 7 Mei 1988, jijini Dar es Salaam, ni mchezaji wa soka (Mpira wa miguu) ni raia wa Tanzania, anayecheza eneo la kiungo mkabaji katika klabu ya Simba S.C. na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars). Afya yake ya akili ni timamu na anauwezo wa kipekee katika ufungaji wa magoli.

Ukweli wa haraka Maelezo binafsi, tarehe ya kuzaliwa ...
Remove ads

Kazi katika ngazi ya timu ya taifa

Nyoni ni miongoni mwa wachezaji wanayoitumikia timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) katika michezo ya kimataifa.

Magoli katika michezo ya kimataifa

Alama na matokeo yanaorodhesha magoli aliyoifungia Tanzania.[1]
Maelezo zaidi No., Tarehe ...
Remove ads

Marejeo

Viunga vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads