Ester Alexander Mahawe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ester Alexander Mahawe alikua mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020. [1].
Aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Kigoma kuanzia mwaka 2021. Katika uteuzi uliofanyika mapema mwaka 2023 na Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alihamishiwa Wilaya ya Mbozi iliyopo Mkoa wa Songwe.
Alikua mstari wa mbele katika kuhakikisha wasichana wanapata elimu bora kwa ajili ya maendeleo ya wilaya na mkoa kwa ujumla.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads