Ettadhamen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Ettadhamen ni mji wa Tunisia katika wilaya ya Ariana.

Mwaka 2014 ulikuwa na idadi ya wakazi takribani 196,298 pamoja na mji wa Mnihla. Hivyo ulikuwa mji wa nne kwa ukubwa nchini Tunisia.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads