Eulalia wa Merida
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eulalia wa Merida (Merida, Hispania, 292 - Merida, 304) alikuwa bikira anayeheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mwenye sifa ya mfiadini pia.

Inasemekana katika ujana wake hakusita kutoa uhai wake kushuhudia imani yake kwa Kristo [1].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Desemba[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads