Eusizi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Eusizi (kwa Kifaransa: Eusice; Jumilhac, 465 - Selles-sur-Cher, 542 hivi) alikuwa mkaapweke katika chumba kidogo kwenye mto Cher, leo nchini Ufaransa[1].

Gregori wa Tours aliandika habari zake.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Novemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads