Eustasi White
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eustasi White (Louth, Uingereza, 1559 – London, 10 Desemba 1591) alikuwa Mkristo wa Kanisa la Anglikana kabla hajajiunga na Kanisa Katoliki.

Baada ya kuhamia Ulaya bara, aliingia seminari kwa lengo la kurudi kwao kufanya uchungaji usioruhusiwa na serikali, akapewa daraja ya upadri (1588).
Hapo alirudi Uingereza lakini baada ya muda mfupi aliuawa kwa kunyongwa na kukatwa vipandevipande chini ya sheria[1].
Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 39.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads