Eustoki wa Tours

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Eustoki wa Tours (Auvergne - Tours, 461) alikuwa askofu wa 5 wa Tours katika Ufaransa wa leo baada ya Brisi kuanzia mwaka 444 hadi kifo chake[1].

Mtu mwenye moyo wa ibada, alikuwa kwanza mjumbe wa senati ya Roma kama wengine wa familia yake [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Septemba[3].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads