Eutiki wa Como

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Eutiki wa Como (482 - 5 Juni 539) anakumbukwa kama askofu wa 8 wa Como (Italia Kaskazini) aliyejulikana kwa kupenda sala na kukaa peke yake na Mungu hata baada ya kupewa daraja hiyo ya juu[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads