Eva

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eva
Remove ads

Eva ni jina la mwanamke wa kwanza kadiri ya Biblia. Maana yake inafikiriwa kuhusiana na uhai: mama wa walio hai.

Thumb
Eva akiinama kula tunda, alivyochongwa na Gislebertus upande wa nje wa kanisa kuu la Autun, Ufaransa.

Kanisa Katoliki linamheshimu kama mtakatifu tarehe 24 Desemba[1].

Umaarufu wake umeongezeka tena hivi karibuni, baada ya upimaji wa DNA ya mviringo kuthibitisha kwamba binadamu wote wanatokana na mama mmoja.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads