Evensi na wenzake

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Evensi na wenzake Aleksanda na Theodulo (walifariki Roma, karne ya 4) walikuwa Wakristo wa Roma ya Kale waliouawa kwa ajili ya imani yao [1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads