Fakharia Shomar Khamis

mwanasiasa kutoka Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Fakharia Shomar Khamis (amezaliwa tarehe 20 disemba 1952) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ameteuliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads