Familia nyuklia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Familia nyuklia
Remove ads

Familia nyuklia (kwa Kiingereza nuclear family, elementary family au conjugal family[1][2]) ni familia iliyoundwa na wazazi wawili na watoto wao[3].

Thumb
Familia nyuklia ya Marekani mwaka 1955 hivi.

Ni tofauti na familia pana, inayohusisha ndugu wengi wa wazazi, na aina nyingine za familia[4].

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads