Febadi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Febadi
Remove ads

Febadi (kwa Kilatini pia: Phaebadius, Foegadius; alifariki 393 hivi[1]) alikuwa askofu wa Agen, leo nchini Ufaransa, walau kuanzia mwaka 357. Rafiki wa Hilari wa Poitiers, ni maarufu vilevile kwa msimamo wake katika imani sahihi akilinda waamini dhidi ya uzushi [2][3].

Thumb
Sanamu ya Mt. Febadi.

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 25 Aprili[4].

Maandishi

Aliandika vitabu mbalimbali, kikiwemo kimoja dhidi ya Uario kilichotufikia na kinachoonyesha ubora mkubwa [5][6].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads