Fefe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fefe
Remove ads

Fefe (Hyparrhenia rufa) ni aina ya manyasi inayoishi miaka mingi. Inatokea Afrika katika maeneo mbalimbali. Jina hili litumika pia kwa spishi nyingine za jenasi Hyparrhenia. Manyasi haya hutumika sana kwa kuezekea mapaa na pia kutengenezea mikeka na vikapu.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Viungo vya nje

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads